KITAIFA
July 03, 2024
47 views 46 secs 0

MAMLAKA YA MAPATO TRA YAZIDI KUJIDHATITI UKUSANYAJI MAPATO NCHINI

Na Richard Mrusha MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwaka wa fedha waย  2023/2024 imeweza kukusanya shilingi trilioni 27 .64 nakuipa fursa Serikali kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo na kustawisha maisha ya watanzania pasipo na wasiwasi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai Mosi, 2024 na aliyekuwaย  Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidata, imesema […]

BIASHARA, KITAIFA
May 29, 2024
91 views 2 mins 0

TRA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI ZA MTANDAONI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA DESTURI YA KUDAI RISITI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewaomba waandishi wa habari za Mtandaoni (digital online) kuhamasisha wananchi kuwa na desturi ya kudai risiti pale wanapofanya manunuzi ili kusaidia kuwapata wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi. Rai hiyo ameitoa leo Jijini Dae es salaam Mei 29,2024 Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato TRA Elimu […]

KITAIFA
May 29, 2024
64 views 13 secs 0

TRA KUWAPA SOMO VYOMBO VYA HABARI KUWA VIPAUMBELE KWA KUTOA TAARIFA ZA UMMA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) wamekutana na waandishi wa habari wa mtandaoni katika Semina waliyoiandaa kwa kushirikiana na Jukwaa la Wanahabari wa mtandaoni (JUMIKITA) leo Mei 29 ,2024, Imefanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam ” TRA ni Taasisi ya […]