TMDA IMEWATAHADHARISHA WAFANYABIASHARA WANAOINGIZA NA KUSAMBAZA DAWA NA VIFAA TIBA NA VITENGANISHI VIZIVYOSAJILIWA
Na Madina Mohammed WAMACHINGA Ni muendelezo wa utoaji elimu kwa waingizaji na wasambazaji wa dawa , vifaa tiba na vitenganishi kutoka Wilaya ya Ilemela na Nyamagana Mkoani Mwanza ,Elimu hii inatolewa na mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMDA Kanda ya Ziwa Mashariki. Mamlaka ya dawa na vifaa Tiba TMDA Kanda ya ziwa mashariki imewatahadharisha […]