KITAIFA
July 23, 2024
242 views 3 mins 0

WAZIRI BASHUNGWA: WAPANGAJI WA NYUMBA ZA TBA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa(Mb) amewataka Wapangaji wanaokaa kwenye nyumba na majengo ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya pango ili fedha hiyo itumike kujenga majengo mapya na kuboresha huduma katika majengo mengine ya Wakala huo. Bashungwa ametoa agizo hilo leo Julai 23, 2024 katika […]