PINDI CHANA ATOA TAKWIMU ZA WATALII NA MAPATO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya utangazaji wa takwimu za watalii na mapato yatokanayo na utalii kwa mwaka 2024, amezindua rasmi taarifa hizo katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa, jumla […]