KITAIFA
September 14, 2023
180 views 2 mins 0

WAZIRI MAJAARIWA AWAFUNDA WAKANDARASI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wahandisi wazawa wanashiriki kwenye ujenzi wa miradi mbalimbali nchini. Amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Tanzania, unaolenga kupunguza ukosefu wa ajira kutoka 9% hadi 8% ifikapo 2025/26, Serikali inatarajia kutimiza […]

KITAIFA
August 11, 2023
306 views 3 mins 0

TANZANIA NA MALAWI KUINGIA MAKUBALIANO YA MIAKA MIWILI

Nchi ya Tanzania na nchi ya Malawi yaingia makubaliano wa miaka miwili Katika na ushirikiano Katika sekta ya nishati Makubaliano hayo ya understand kati ya lastcop na shirika la umeme la Malawi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Katika ukumbi wa hayyat regency Leo ijumaa 11 mwezi august 2023 waziri wa nishati […]