WAMACHINGA KUPATIWA VIWANJA KUPITIA MAENDELEO BANK
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Benki ya Mandeleo Leo imesaini mkataba wa makubaliano ya pamoja Kati yake na shirikisho la umoja wa wamachinga wa Kariakoo (KAWASSO) utakaowawezesha wafanyabiashara hao kupata viwanja vya makazi sambamba na kupata mikopo kwa ajili ya Kujengea nyumba unaojulikana kama ‘Machinga Plot Finance’. Akizungumza na waandishi wa habari Leo […]