KITAIFA
November 19, 2024
88 views 3 mins 0

SERIKALI KUIMARISHA NJIA ZA USAFIRISHAJI MADINI-MAJALIWA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikaliย  itaendelea kuiunga mkono sekta ya madini lengo likiwa ni kuona sekta hiyo inakuwa kwa kasi na tija kwa uchumi wa nchi. Majaliwa ameyasema hayo leoย  jijini Dar es salaam wakati akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassanย  kwenye Mkutano wa sita wa Kimataifa wa Madini ulioanza leo […]