KITAIFA
February 10, 2025
64 views 2 mins 0

RAIS MWINYI :MIFUMO IMARA YA HAKI NI MSINGI WA KUKUZA IMANI KWA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Zanzibar  na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi  ameeleza kuwa Serikali  inaelewa kwamba utekelezaji wa Sheria  kwa uadilifu  na kuwepo  kwa mifumo imara ya upatikanaji wa haki  ni msingi muhimu katika kujenga na kukuza Imani ya wananchi kwa  Serikali yao, kuleta amani na utulivu  katika nchi  pamoja […]