MBIO ZA RUN FOR BINTI KUREJEA TENA MEI 24 MWAKA HUU
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA LSF kwa kushirikiana na Shirika lisilo la kiserikali la Smile for Community (S4C) leo limetangaza rasmi msimu wa nne wa mbio za Run for Binti zinazotarajiwa kufanyika tarehe 24 Mei 2025 katika viwanja vya Farasi, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Mbio hizi hufanyika kila mwaka kwa lengo la […]