KITAIFA
March 08, 2024
175 views 2 mins 0

BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE-NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA

LINDI -LIWALE Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameipongeza timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), kwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha wanarejesha mawasiliano ya barabara ya Liwale – Nangurukuru ambayo imeanza kupitika. Waziri Bashungwa ameeleza hayo leo Machi 08, 2024 mkoani Lindi wakati akikagua urejeshwaji wa miundombinu ya […]