RAS NGUVILA AZINDUA KAMPENI YA “AFYA CHECK” 2024 KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM -Ataja umuhimu wa kampeni hii kwa wananchi wa Dsm -Asema Madaktari Bingwa na Wabobezi katika taalum mbalimbali ni sehemu ya kampeni hiyo na ataja huduma zitakazotolewa -Aainisha Ratiba ya Upimaji Afya katika ngazi za Wilaya zote -Awashukuru wadau wote waliowezesha kampeni hiyo -Kwa upande wake Dr. Mohamedi Mang’una […]