TUONDOE VIKWANZO VYA RUFAA ZA MATIBABU AFRIKA MASHARIKI-MAJALIWA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watoa huduma za afya wa nchi wanachama wa kanda ya Afrika Mashariki kuondoa vikwazo vinavyozuia wagonjwa wanaotafuta matibabu ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki. “Hatua hii ni kwa manufaa ya wananchi wetu na kwa uchumi wa kikanda na ukuaji wa utalii tiba.” Ametoa wito […]