KITAIFA
February 26, 2024
302 views 6 mins 0

RAIS SAMIA AANDIKA HISTORIA MRADI WA UMEME JNHPP

๐Ÿ“Œ *Uzinduzi rasmi kufanyika mwezi Machi mwaka huu* ๐Ÿ“Œ *Dkt. Biteko asema hakuna kulala; vyanzo vipya kutekelezwa* Na mwandishi wetu… Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wenye uwezo wa megawatiย  2,115ย  umeanza kazi na kuingizaย  megawati 235 katika gridi ya Taifa […]