KITAIFA
July 17, 2024
123 views 3 mins 0

TANZANIA, MAREKANI NA INDIA KUONGEZA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA NISHATI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Dkt.Mataragio azindua programu ya ushirikiano ya TriDEP Inalenga kuongezea Wataalam uwezo katika eneo la Nishati Jadidifu TriDEP kugusa pia uimarishaji wa Gridi ya Taifa* Serikali ya Marekani, India na Tanzania zimekubaliana  kuongeza ushirikiano katika   miundombinu ya  umeme unaotokana na Nishati Jadidifu ili iweze kuchangia ipasavyo katika gridi ya Taifa kama ilivyo […]

KITAIFA
April 25, 2024
97 views 7 mins 0

BUNGE LAPITISHA SH.TRILIONI 1.8 MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI 2024/2025

Na Mwandishi Wetu DODOMA 95.28% kuelekezwa kwenye maendeleo* Serikali kuja na Kanuni ya Uwajibikaji kwa wananchi Miradi ya Mafuta na Gesi Asilia* Dkt. Biteko aagiza Halmashauri kupeleka fedha za Ushuru wa Huduma vijijini* Masharti ufunguzi wa vituo vya CNG yarekebishwa kuvutia uwekezaji* Kapinga atilia mkazo utekelezaji Nishati Safi ya Kupikia  na CNG* Bunge la Jamhuri […]

KITAIFA
April 24, 2024
196 views 43 secs 0

JNHPP KUKAMILIKA DISEMBA

Serikali imesema imeanza uzalishaji wa umeme kupitia mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji wa Julius Nyerere (JNHPP) wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115, ambapo  uzalishaji huo umeanza kwa Megawati 235 kupitia mtambo namba tisa.  Hayo yamesema na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Bungeni jijini Dodoma wakati akisoma hotuba ya […]