KITAIFA
July 19, 2023
268 views 4 secs 0

JKCI YATOA MWELEKEO WA UTEKELEZAJI WA MWAKA WA FEDHA MWAKA 2023/24

Taaasisi ya jakaya kikwete jkic inayotoa huduma ya tiba ya moyo na upasuaji imetoa mwelekeo wa utekelezaji wa mwaka wa fedha 2023/2024 Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar salama mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Dkt Peter kisenge alisema kutokana na shughuli mblimbali zinazofanywa na jkic serikali imeunga mkono ili kupunguza magonjwa ya moyo Baadhi […]