KITAIFA
January 25, 2025
85 views 44 secs 0

WAWILI WAKAMATWA KUHUSIANA NA TAARIFA YA RAIA WA KIGENI KUTEKWA NA KUPIGWA.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili kuhusiana na taarifa inayosambaa katika mtandao wa kijamii ikieleza kunusurika kuuawa, kutekwa na kupigwa nyundo kichwani kwa raia mmoja wa kigeni aitwaye Suzan Mary Shawe (75) raia wa afrika kusini. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha SACP […]

KITAIFA
September 21, 2024
216 views 47 secs 0

RAIS SAMIA AKITETA NA VIONGOZI WA JESHI LA POLISI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais Samia ateta na vigogo Jeshi la PolisiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana amefanya mazungumzo na viongozi wa juu wa Jeshi la Polisi, wakiongozwa na IGP Camillius Wambura. Kikao hicho kimefanyiia ikiwa ni siku chache baada ya kufanyika maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la […]

KITAIFA
May 13, 2024
452 views 4 mins 0

JENERALI MABELE AISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KULIWEZESHA JESHI KATIKA MAJUKUMU YAKE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MARA Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa  (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuliwezesha Jeshi hilo kutekeleza majukumu yake. Meja Jenerali Mabele ameyasema hayo wakati akihitimisha zoezi […]