IRENE UWOYA AJA NA KAMPENI YA ‘JEMBE NI MAMA’ITAKAYOMKOMBOA MAMA KATIKA KILIMO CHA KIDIGITALI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MSANII Maarufu wa Bongo “Movie” Nchini Irene Uwoya ameanzisha kampeni ya kumkomboa mwanamke kwenye Sekta ya Kilimoa inayojulikana kama “Jemba ni Mama”. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 26, 2025 Wakati akitangaza kampeni hiyo Uwoya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mradi huo amesema asilimia 67 ya Wanawake ndiyo wanaojushughulisha na […]