BIASHARA
September 13, 2023
500 views 14 secs 0

UFARANSA KUSITISHWA MAUZO YA SIMU ZA APPLE IPHONE 12 MARA MOJA

Ufaransa imeamuru kusitishwa mara moja kwa mauzo ya simu zote za Apple aina iPhone 12 kutokana na kugundulika kuwa na mionzi mingi ya sumakuumeme (electromagnetic) ambayo si salama kiafya kwa watumiaji wake. Shirika la uangalizi la Ufaransa (ANFR) liliiambia kampuni ya Apple kurekebisha simu zilizopo na kuipa ushauri kampuni hiyo, ikiwa haiwezi kutatua suala hilo […]