KITAIFA
July 06, 2023
189 views 2 mins 0

MSAMA:AWATAKA VIONGOZI MBALIMBALI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama amewataka watu wote ambao wanania mbaya ya kuichafua nchi yetu wanahitajika kupambana nao bila ya kumuogopa mtu yeyote na pia bila ya kumuonea haya mtu yeyote yule. Aidha amewataka Viongozi mbalimbali wakiwemo wabunge,pia wameshauriwa kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada […]

KITAIFA
June 25, 2023
261 views 2 mins 0

RAIS SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA KITAIFA YA KUPIGA VITA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo ya Wataalamu waliopo kwenye Banda la Maonesho la Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kuhusiana na kazi mbalimbali ambazo Mamlaka hiyo inafanya katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya Duniani ambayo […]