KITAIFA
August 27, 2024
150 views 3 mins 0

MHE CHANA TUTAHAKIKISHA MAELEKEZO YA RAIS YANATEKELEZWA

Na Mwandishi Wetu Ngorongoro Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameeleza kuwa Wizara yake  itahakikisha maelekezo ya Serikali yaliyotolewa hivi karibuni kwa wananchi wa tarafa ya Ngorongoro kuhusiana na uboreshaji wa huduma za jamii yanatekelezwa. Mhe. Chana ametoa kauli hiyo alipotembelea makao makuu ya ofisi za Mamlaka ya hifadhi ya […]

KITAIFA
May 27, 2024
423 views 3 mins 0

SERIKALI ITAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI WANAOISHI NDANI YA ENEO LA NGORONGORO

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Serikali imesema itaendelea kutoa elimu kwa wananchi wanaoishi ndani ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro juu ya faida za kuhama kwa hiari wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha, kwenda vijiji vya Msomera wilayani Handeni na Saunyi wilayani Kilindi mkoani Tanga na Kitwai wilayani Simanjiro, mkoani Manyara pamoja na maeneo mengine. Akizungumza leo 26 […]