KITAIFA
February 29, 2024
130 views 4 mins 0

MKUUU WA MKOA WA LINDI AWATAKA WAKAZI WA KILWA KUWA TAYARI KUWAPOKEA WATALII

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Rajab Telack amewataka wakazi wa wilaya ya Kilwa na Mkoa wa Lindi kwa ujumla kuwa tayari kuwapokea watalii wanaotembelea Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara na kutumia fursa hiyo kufanya biashara za bidhaa za utalii ili kuwaingizia kipato. […]

KITAIFA
February 27, 2024
150 views 3 mins 0

KASSIM MAJALIWA APIGILIA MSUMARI AWATAKA TANAPA KUSIMAMIA SHERIA KAMA ZILIVYOPITISHWA NA BUNGE

Na. Jacob Kasiri – Sitalike. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amewataka Makamanda wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuratibu maeneo yao vizuri na kusimamia sheria za uhifadhi kama zilivyopitishwa na Bunge ili maliasilia zilizomo ziendelee kuleta tija kwa taifa, ameyasema hayo jana Februari 25.02.2024 aliposimama kuwasalimia […]

KITAIFA
February 26, 2024
159 views 2 mins 0

TAWA IMELETA MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA YA UTALII KILWA -DC KILWA

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Emil Ngubiagal amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA ni taasisi iliyoleta mapinduzi makubwa katika Sekta ya Utalii na kuwa chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali na wazawa wa wilaya hiyo kutokana na maboresho ya miundombinu ya utalii katika Hifadhi ya Urithi wa […]

KITAIFA
February 20, 2024
133 views 3 mins 0

MASESA AMEWAASA MADEREVA KUPUNGUZA MWENDOKASI WAWAPO NDANI YA HIFADHI YA MIKUMI

Na Richard Mrusha Mikumi. WATUMIAJI wa Vyombo vya moto wametakiwa kupunguza mwendokasi zaidi pindi wanapopita kwenye Hifadhi ya taifa ya mikumi ili kuepuka kugonga wanyama na kusababisha hasara kubwa ya kukosa fedha kutokana na utalii unaofanyika kwenye Hifadhi hiyo. Hayo yamesemwa februariย  19,2024 na kamishna mkuu Msaidizi wa hifadhiย  ya Taifa Mikumi Kamanda ,Augustine Masesa […]

KITAIFA
February 19, 2024
143 views 3 mins 0

TANAPA KUWAPA HESHIMA WANAWAKE SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

DAR ES SALAAM KUELEKEA siku ya wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 2, 2024, Mamlaka za Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia(TAZARA) wanaanda mtoko maalum kwa ajili ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kujionea vivutio vilivyopo. Akizungumza na  waandishi wa habari leo  jijini Dar es Salaam kwa niaba […]

KITAIFA
February 14, 2024
138 views 48 secs 0

“BUSH MEAL” ZAO JIPYA LA UTALII PORI LA AKIBA KIJERESHI

Ubunifu wa mbinu za kuongeza idadi ya watalii na vyanzo vya mapato nchini kwa kuanzisha mazao mapya ya utalii ni mojawapo ya mikakati inayopigiwa chapuo kwa msisitizo mkubwa na Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Waziri mwenye dhamana ya Maliasili Mhe. Angellah Kairuki (Mb). Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kupitia Hifadhi […]

KITAIFA
February 14, 2024
84 views 45 secs 0

UTALII WA MALIKALE WASHIKA KASI NCHINI WAFARANSA WAFURIKA KILWA KISIWANI

Kwa miongo kadhaa kumekuwa na dhana ya kwamba wageni wengi wa nje hupendelea zaidi utalii wa kuona wanyamapori, lakini hivi karibuni dhana hiyo imeanza kubadilika kwa kasi ambapo Tanzania imeanza kupokea wageni makundi kwa makundi wakitembelea katika maeneo yetu ya Malikale hususan Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara. […]

KITAIFA
February 02, 2024
147 views 3 mins 0

DKT VINCENT MASHINJI:TAWA YAUNGA MKONO JITIHADA ZA MHE.RAIS SAMIA WILAYANI SERENGETI,YAGUSA MAISHA YA WANANCHI

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mhe. Dkt. Vincent Mashinji amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha elimu inakuwa kipaumbele wilayani Serengeti. Dkt. Mashinji ameyasema hayo Februari 01, […]

KITAIFA
January 23, 2024
215 views 3 mins 0

AFISA MHIFADHI KANDA YA KUSINI AMEWAASA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI

Na Richard Mrusha Kitulo AFISA Mhifadhi mkuu wa Kanda ya Kusini Jonathan Kaihura Ametoa wito Kwa watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo katika hifadhi zetu hapa nchini na hasa hifadhi ya Taifa ya kitulo iliyopo katika mikoa ya Njombe wilayani Makete. Na Mkoa wa Mbeya wilaya ya Rungwe na mbeya vijijini Amesema kuwa […]