KITAIFA
June 14, 2024
70 views 3 mins 0

MILIONI 790 ZA DHARURA KUREJESHA MAWASILIANO YA MIUNDOMBINU TABORA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA TABORA TARURA Mkoa wa Tabora imepokea fedha za dharura  kiasi cha shilingi milioni 790  kwaajili ya kurejesha mawasiliano ya miundombinu ambayo yameathiriwa na mvua za Elnino mkoani humo. Meneja wa TARURA Mkoa wa Tabora, Mhandisi Lusako Kilembe amesema kwamba fedha hizo zitatumika kurejesha mawasiliano ya barabara ambazo zilikatika kutokana na mvua […]

KITAIFA
June 14, 2024
44 views 3 mins 0

BODI YA TAWA KUJA NA MIKAKATI KABAMBE YA KUIBORESHA HIFADHI YA PANDE

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amesema Bodi anayoiongoza imejipanga kuja na mipango madhubuti ya kuifanya Hifadhi ya Pande iliyopo Jijini Dar es Salaam kuwa kivutio kikubwa kwa watu waishio  ndani na nje ya Jiji hilo. Akizungumza na waandishi wa habari    katika ziara  […]

KITAIFA
June 10, 2024
51 views 3 mins 0

FRIENDS OF SERENGETI YATOA UFADHILI WA VIFAA VYA DORIA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA TZS.MILION.40 KWA ASKARI WA UHIFADHI WA TAWA

Na Madina Mohammed ARUSHA Katika kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhifadhi na kulinda rasilimali za wanyamapori nchini ikiwa ni pamoja na  kudhibiti wa wanyama wakali na waharibifu,  Marafiki wa Serengeti Uswisi “Friends of Serengeti Switzerland” wametoa msaada wa mahema 20, mabegi ya kulalia “Sleeping bags” 20 yenye  thamani ya Shillingi Millioni thelathini laki tisa […]

KITAIFA
June 09, 2024
44 views 3 mins 0

WANANCHI SENGEREMA WAASWA.KUZINGATIA MATUMIZI YA VIZIMBA ILI KUEPUKA MADHARA YA MAMBA

Na Beatus Maganja Wananchi waishio kandokando ya ziwa Victoria  wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamesisitizwa umuhimu wa kuzingatia matumizi ya vizimba vilivyojengwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake za TAWA na TAWIRI maalumu kwa ajili ya kuzuia madhara yanayoweza kusababishwa na wanyamapori aina ya mamba. Hayo yamesemwa Juni 07, 2024 na Mkuu […]

KITAIFA
May 29, 2024
54 views 3 mins 0

MGOGORO WA MIPAKA PORI LA AKIBA LIPARAMBA WATATULIWA , WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI

Na Madina Mohammed WAMACHINGA Jitahidi za Serikali za kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi baina ya Hifadhi na wananchi zinaendelea kuzaa matunda baada ya kutatua mgogoro uliodumu zaidi ya miaka 20 baina ya Pori la Akiba Liparamba lililopo Mkoani Ruvuma na vijiji vitano vinavyozunguka hifadhi hiyo. Hayo yamebainika Mei 28, 2024 katika ziara ya kuelezea […]

KITAIFA
May 09, 2024
108 views 2 mins 0

TAWA YAPONGEZWA KWA JITIHADA ZA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU UKEREWE

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bw. Joshua Bituri Manumbu ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kwa jitihada endelevu za kuelimisha jamii namna ya kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na wanyamapori wakali na waharibifu hususani mamba na viboko na kuwadhibiti pale wanapoonekana kuhatarisha maisha ya wananchi. Pongezi hizo zimetolewa Mei 08, 2024 […]

KITAIFA
April 19, 2024
117 views 3 mins 0

TAWA YAFANYA MSAKO WA MAMBA TISHIO KWA MAISHA YA BINADAMU RUFIJI

Katika kuhakikisha usalama wa maisha ya watu  wilayani Rufiji, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imefanya msako wa mamba  wanaotajwa kutishia maisha ya watu kutokana na kusogea karibu na makazi ya watu kufuatia kusafirishwa na mikondo ya maji yaliyosababishwa na mafuriko. Afisa habari wa TAWA Beatus Maganja akizungumza na waandishi wa habari katika […]

KITAIFA, MICHEZO
March 07, 2024
104 views 3 mins 0

BODI YA TAWA YAHIMIZA MAOFISA WAKE KUONGEZA UMAHIRI ILI KUENDANA NA KASI YA UWEKEZAJI MAHIRI

Na Mwandishi wetu, Serengeti. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewataka Maofisa na askari wa Mapori ya akiba Ikorongo na Grumeti kuongeza umahiri katika utendaji kazi ili kuendana na kasi ya uwekezaji mahiri (SWICA) uliofanyika ndani ya hifadhi hizo zilizoko wilaya za […]

KITAIFA
March 03, 2024
151 views 4 mins 0

SEKTA YA UTALII YATOA FURSA ZA UWEKEZAJI KANDA YA KUSINI MWA TANZANIA

   Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi na wenye kampuni za uwakala wa utalii wametakiwa kujitokeza kuwekeza katika sekta ya utalii hasa kanda ya kusini hususani katika Hifadhi ya taifa ya Katavi. Wito huo umetolewa Machi mosi, 2024 na Mhifadhi Mkuu, Utalii na Mipango Kanda ya Kusini, Jonathan Kaihura mbele ya wanahabari  waliotembelea hifadhi […]