BIASHARA
September 18, 2024
14 views 2 mins 0

RAS TABORA:MKOA WA TABORA TUMEPIGA VITA MAFUNDI UMEME VISHOKA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt John Mboya, akifungua semina ya siku moja kwa mafundi umeme wa mkoa huo, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Paul Matiko Chacha, leo 17 Septemba 2024,amewasihiย  mafundi umeme wote mkoani humo kuhakikisha wanakuwa na leseni za ufungaji mifumo ya umeme zinazotolewa na Mamlaka […]

KITAIFA
July 27, 2024
70 views 5 mins 0

DKT BITEKO SEKTA YA NISHATI MANENO KIDOGO VITENDO ZAIDI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ashiriki Bonanza la Nishati Dodoma* Ataka Watumishi kupendana na kushirikiana* Atunukiwa Nishani ya Uasisi Bonanza la Nishati* EWURA yaibuka mshindi wa Jumla; Mkurugenzi Mkuu amshukuru Dkt.Biteko kuthamini Watumishi* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe, Dkt. Doto Biteko amewakumbusha Watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuiishiย  Kauli Mbiu […]