KITAIFA
July 10, 2024
70 views 2 mins 0

EWURA WAMEFANYA KAZI YA UDHIBITI KWA UBORA SANA-KM WIZARA YA NISHATI

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Injinia Felchesmi Mramba amepongeza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Akiwa kwenye banda EWURA ndani ya Maonyesho ya 48 Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) leo tarehe 9Julai 2024 Mramba amesema bei ya huduma […]

KITAIFA
November 08, 2023
177 views 4 mins 0

EWURA ZINGATIENI MASLAHI YA NCHI KATIKA SHUGHULI ZA UDHIBITI WA MAFUTA NA MAJI

Awapongeza kwa kushusha gharama za uagizaji mafuta Asisitiza EWURA kudhibiti vitendo vya urasimu na rushwa mahali pa kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuzingatia maslahi ya Watanzania na maslahi ya nchi katika kazi zao […]

KITAIFA
October 10, 2023
252 views 2 mins 0

EWURA YAPAMBA MOTO YAVIFUNGIA TENA VITUO VYA MAFUTA VIWILI

Kutokana na hali iliyokuwa na matukio Kwa baadhi ya maeneo hasa pembezoni mwa nchi kukosa mafuta hasa kipindi Cha kubadilishwa kwa Bei ya mafuta kunasababisha kuwa na usumbufu mkubwa Kwa wananchi na madhara ya kiuchumi EWURA imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria ikiwemo kuvifungia baadhi ya vituo vilivyothibitika kuficha mafuta kinyume na kanuni na Miongozo […]

BIASHARA
September 18, 2023
206 views 2 mins 0

EWURA YAVIFUNGIA VITUO VITATU VYA SHELI

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA)imevifungia vituo vitatu vya kuuza mafuta kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kuchelewesha kufikisha mafuta vituoni na wengine kukaa nayo mafuta kwenye visima vyao Kutokana na ufichaji wa mafuta EWURA imevichukulia hatua vituo 8 ambavyo vimejihusisha na tabia ya kuficha mafuta Hatua hiyo imekuja ikiwa na siku chache […]