BIASHARA
April 17, 2025
41 views 2 mins 0

DSE NA FINTECH WASAINI MAKUBALIANO YA KUKUZA MATUMIZI YA SULUHISHO ZA KITEKNOLIJIA NA USHIRIKIANO WA MASOKO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Soko la Hisa Dar es salaam  DSE limesiani Makubaliano (MOU) na jumiya ya  Fintech society Tanzania yenye lenga la kukuza matumizi ya suluhisho za kiteknolojia katika ushirikinw masoko ya mitaji na kuwawezesha  watanzania kupata elimu ya Fedha. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Aprili 17 wakati wakusaini Makubaliano […]