KITAIFA
July 14, 2023
326 views 5 mins 0

WAZIRI MBARAWA:AKATA MZIZI WA FITINA

Waziri wa ujenzi na uchukuzi Prof.makame mbalawa amesema Tarehe 10 juni mwaka huu Bunge la yamhuri ya Muungano wa Tanzania lililidhia Azimio la makubaliano kati ya serikali ya Muungano Tanzania na serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi wa kijamii kwa ajili ya Utekelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari Tanzania pamoja na kuridhiwa […]

KITAIFA
July 14, 2023
105 views 2 mins 0

WAHARIRI WAUNGA MKONO MKATABA WA DP WORLD

Sakata la bandari likiwa linazidi kuendelea viongozi mbalimbali, wanasheria,pia wanaharakati wanazidi kuliongelea swala hilo la bandari na kuzidi kutoa ufafanuzi wa kina Ili wananchi waelewe kuwa bandari haiuzwi Bali ni uwekezaji ambao utakuwepo baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai. Wahariri mbalimbali nao wameweza kutoa maoni Yao wakilizungumzia swala hilo Ili kuwaelimisha jamii […]

KITAIFA
June 30, 2023
172 views 22 secs 0

MKATABA UNARUHUSU KUTAIFISHA UWEKEZAJI

Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Mohamed Salum Leo ijumaa ya tarehe 30 amefanya mahojiano na kituo kimoja Cha television kilichopo dar es salaam Katika kufafanua na kufungua baadhi ya vifungu vya Sheria katika mkataba wa bandari huo Amesema ni kweli ibala ya 22 ya mkataba inaongelea substitute management marekebisho ya ibala […]

KITAIFA
June 30, 2023
155 views 28 secs 0

DP WORLD WANAUWEZO WA KUIENDESHA BANDARI

Mwenyekiti wa chama Cha wakala wa meli Tanzania (TASAA) Daniel Mallongo amesema mawakala wa meli Nchini Tanzania wanasubiri Kwa hamu uwekezaji wa kampuni ya Dp world kwenye uwekezaji wa bandari ya Dar es salaam. Amesema Dp World ni kati ya kampuni tatu kubwa duniani ambazo zinazoendesha bandari mbalimbali “Dp world inaendesha takribani bandari 64 duniani […]