KITAIFA
July 12, 2023
208 views 3 mins 0

JERRY SILAA:AWASHANGAA WANASHERIA WANAOPOTOSHA TAFSRI YA VIPENGELE VYA MKATABA

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya uwekezaji wa mitaji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la ukonga Jerry Silaa amesema nchi yetu inakatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inayotoa mamlaka Kwa kila aliepewa mamlaka na katiba,katiba hiyo imeazimishwa na mamlaka lakini vile vile mamlaka hayo wakitumia Demokrasia Kwa […]

KITAIFA, Uncategorized
June 21, 2023
282 views 39 secs 0

MPOGOLO:Wilaya ya Ilala inalisha MKOA mzima WA Dar es salaam

Akizungumza Jijini Dar es salaam Katika soko hilo la samaki feri mkuu wa wilaya ya Ilala Edward mpogolo amesema wakati akitoa changamoto nyingi Katika soko hilo amesema Halmashauri ambayo Kwa nchi nzima hakuna Halmashauri yenye mapato mengi Zaidi ya Ilala inamapato mengi Zaidi ya shilingi billion 81 na ndio inayolisha MKOA mzima WA Dar es […]

Uncategorized
June 20, 2023
423 views 4 mins 0

Waziri mkuu: Serikali haitodharau maoni na ushauri WA watanzania kuhusu bandari

WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano WA Tanzania Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Waziri Mkuu ameyasema hayo katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 40 ya chuo cha International Evangelism Centre kilichoko Sakila jijini Arusha. Amesisitiza […]

KITAIFA
June 19, 2023
252 views 31 secs 0

SERIKALI KUWATHAMINI WATU WENYE ULEMAVU

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwajali na kuwathamini Watu wenye Ulemavu kwa kuhakikisha inakuza ustawi wa kundi hilo. Akizungumza Katika viwanja vya Bungeni jijini dodoma Naibu […]

KITAIFA
June 16, 2023
147 views 3 mins 0

MHANDISI LUHEMEJA AWAFUNDA MWAUWASA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuhakikisha wanatumikia vyema nafasi zao walizoaminiwa ili kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwenye maeneo mbalimbali wanayohudumia. Mhandisi Luhemeja ametoa maelekezo hayo kwa nyakati tofauti alipofanya ziara kwenye Ofisi mbalimbali za MWAUWASA […]

KITAIFA
June 16, 2023
88 views 3 mins 0

Nambia yaipongeza Tanzania kuwekeza katika matibabu ya moyo

Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Masuala ya Usawa wa Jinsia, Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Familia kutoka Bunge la Namibia wameipongeza Serikali kwa kuimarisha huduma za matibabu ya moyo jambo ambalo limewafanya watanzania na mataifa mengine kutibiwa moyo hapa nchini. Pongezi hizo zimetolewa na wabunge hao jijini Dar es Salaam wakati walipotembelea Taasisi […]

KITAIFA
May 30, 2023
601 views 41 secs 0

MRADI WA DMDP 2 DAR ES SALAAM: KUANZA KUTEKELEZA KWA BILIONI 800

Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki, na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu L. Nchemba, wameshuhudia utiaji saini wa mikataba ya kusanifu Mradi Uendelezaji wa Mkoa wa Dar es Salaam awamu ya pili (DMDP 2). Mradi huo unaotarajiwa kuanza kutekelezwa Aprili 2024 utagharimu Shilingi Bilioni 800. Mikataba hiyo imesainiwa kati ya Ofisi ya TAMISEMI […]

KITAIFA
May 29, 2023
247 views 38 secs 0

BANDARI YA DAR ES SALAAM YAWEKA REKODI MPYA KWA KUHUDUMIA SHEHENA

Bandari ya Dar es Salaam imefikia rekodi ya kihistoria kwa kuhudumia zaidi ya tani milioni 18 za shehena hadi kufikia Mei 2023. Muda wa kuhudumia shehena umepungua sana na sasa unachukua chini ya siku nne. Mkakati wa maboresho na ujenzi wa miundombinu katika bandari hiyo umesaidia kuongeza ufanisi na kuboresha huduma za bandari. Kina cha […]