KITAIFA
June 21, 2023
215 views 2 mins 0

LIPUMBA:Alipua mkataba wa bandari asema bandari inahusu Tanzania

MWENYEKITI wa chama cha wananchi the civil United Front (Cuf) Prof Ibrahim Lipumba amekemea vikali kuhusisha suala la mkataba wa kampuni ya Dp world ya nchini Dubai na Bandari ya Dar es Salaam (TPA) kuwa suala hilo Halina uhusiano wa uzanzibari nakusisititiza kuwa suala hilo linalohusu nchi ya Tanzania. Akizungumza na Waandishi wa habari kwenye […]