KITAIFA
July 09, 2024
301 views 4 mins 0

KAMATI YA RUFAA YA CHAMA CHA ADC YAWAEKA KIKAANGONI,DOYO NA ITUTU WATAKA HAKI ITENDEKE

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mwanasheria wa Chama Cha Alliance For Democratic Change (ADC), ambaye pia Mjumbe wa Kamati ya Rufaa wa chama hicho, John Mbogo amesema wamejipanga kufanya mabadiliko madogo katika Katiba na Kanuni zinazohusu mchakato wa uchaguzi ili kuondoa migogoro kutokea baada ya kufanyika chaguzi ndani ya chama hicho. Akizungumza makao […]

KITAIFA
July 01, 2024
309 views 5 mins 0

DOYO ACHAFUKWA AMSHUSHIA LAWAMA HAMAD RASHID KUWA CHAMA CHA ADC SIO CHA UKOO

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Aliyekuwa Mgombea wa  nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Alliance For Democratic Change (ADC) Doyo Hassan Doyo amesema hayatambui matokeo ya uchaguzi yaliyomtangaza Shaban Itutu kama Mwenyekiti wa Chama kutokana na uchaguzi huo kutozingatia katiba ya Chama hicho. Doyo Hassan Doyo ambaye alionekana kutokuwa na upinzani […]