KITAIFA
February 25, 2025
12 views 33 secs 0

SUMAYE AMTEMBELEA WASIRA KATIKA OFISI NDOGO ZA CCM ZILIPO LUMUMBA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Makamu Mwenyekitiย  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Bara, Ndg. Stephen Wasiraย  akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu, Mhe. Frederick Tluway Sumaye, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam, baada ya kiongozi huyo, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati […]