KITAIFA
March 01, 2024
300 views 5 secs 0

ALLY HASSAN MWINYI KUAGWA LEO SAA8 UWANJA WA UHURU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameitangaza ratiba ya maziko ya Rais wa mstaafu Ally Hassan Mwinyi itakayoanza leo saa tano na nusu asubuhi kwa mwili kuondoka nyumbani kwake Mikocheni kuelekea Msikiti Mkuu wa BAKWATA Kinondoni ambako Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zuber Bin Ali ataongoza swala ya Ijumaa na taratibu zote za kidini. “Saa 8:00 Mchana, mwili […]