RC SENYAMULE ATOA WITO KWA VIJANA MKOA WA DODOMA KUCHANGAMKIA FURSA YA AFYA BONANZA KUPIMA AFYA ZAO.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa vijana kuchangamkia fursa za Afya Bonanza ili waweze kupima afya zao na kupata elimu kuhusu masuala mbalimbali ya afya. Akitoa wito huo Mkuu wa mkoa Rosemary Senyamule katika ufunguzi wa Bonanza la Afya Mkoa wa Dodoma uliofanyika katika shule ya Msingi Changโombe na kufanikiwa jumla […]