BURUDANI
June 30, 2023
124 views 2 mins 0

TARO NA KAMATI YA BUNGENI YAWASILISHA MAPENDEKEZO YA WADAU WA SANAA

Taasisi ya Haki za Wasanii (TARO) wamekutana na Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria na kuwasilisha mapendekezo ya wadau wa sanaa juu ya Marekebisho ya Sheria ya Sanaa namba 23 ya mwaka 1984 Ili kuendana na uhuru wa sanaa kama msingi wa haki za binadamu. Akizungumza Katika kikao hicho Leo ijumaa tarehe 30 Mkurugenzi […]