RC CHALAMILA KUWALIPIA NAULI WANA DAR ES SALAAM 200 KUSHIRIKI BETIKA MBEYA TULIA MARATHON
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo April 15,2025 akiongea na waandishi wa Habari Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam wakati akikabidhiwa Jezi maalum ya *kushiriki Betika Mbeya Tulia Marathon* ambayo mwaka huu inatarajiwa kufanyika Mei 9 – 10, 2025 Jijini Mbeya. RC Chalamila ameeleza […]