KITAIFA
April 08, 2025
23 views 2 mins 0

MAWASILIANO SOMANGA- MTAMA YAANZA KUREJEA ABIRIA WASHUKURU

Mawasiliano ya Barabara Somanga – Mtama yameanza kurejea kwa hatua katika barabara iendayo mikoa ya Kusini tangu leo alfajiriย  baada ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya kazi usiku na mchana kurekebisha eneo la Somanga na Matandu lililoharibiwa na mvua na kufanya njia isipitike. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ambaye ameweka kambi katika eneo […]