RC CHALAMILA BARABARA NYINGI ZIME ATHIRIKA KUTOKANA NA UZEMBE WA CHINI WA KIWANGO
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila Amesema barabara nyingi zime athirika wakati wa mvua na hii inatokana na barabara zilizotengenezwa Kwa uzembe Chini ya kiwango na zengine hazina mitaro na ujenzi wa wananchi waliojenga umeziba njia ya maji Hayo ameyasema Leo Tarehe 28 Mei 2024 […]