KITAIFA
December 06, 2023
156 views 2 mins 0

BASHUNGWA:MISHENI YA LEO NI KUSAFISHA MJI WA KATESH

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope inaendelea na shughuli kubwa inayofanyika kwa sasa ni kufungua mitaa yote ya mji wa Katesh na kurejesha mji katika hali yake ya awali kwa kuwezesha shughuli za uzalishaji kuendelea. Ameyasema hayo mapema asubuhi hii wakati wakikagua kazi zilizofanyika ambapo aliambatana na Waziri wa Nchi, Ofisi […]

MICHEZO
November 27, 2023
165 views 2 mins 0

WACHEZAJI TFRA WAKABIDHI MAKOMBE KWA UONGOZI WA MAMLAKA

Washiriki wa michezo lililoandaliwa na Shirikisho la michezo yaMashirika, Taasisi za Umma na Binafsi (SHIMMUTA) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wamerejea na kukabidhi makombe mawili ya ushindi wa kwanza waliyoyapata wakati wa ushiriki wao katika michezo hiyo. Akipokea makombe hayo ikiwa ni la ushindi katika mchezo wa pool table na kukimbia ndani […]

KITAIFA
June 20, 2023
150 views 2 mins 0

Nchemba aishukuru bank ya standard chartered

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered anayesimamia nchi za Afrika na Mashariki ya Kati, Bw. Sunil Kaushal Benki ya Standard Chartered ipo katika hatua za mwisho za utaratibu wa kupata fedha kwa ajili ya ujenzi wa vipande vilivyobakia vya reli ya kisasa […]