KITAIFA
January 15, 2024
173 views 5 mins 0

MRISHO:KWA MWAKA HUU WA FEDHA 2023/24 UNATARAJIA KUHUDUMIA MAKASHA ZAIDI YA MILIONI MOJA NA LAKI 2

Mkurugenzi wa Bandari, Mrisho Mrisho amesema kwa mwaka huu wa fedha, 2023/24 wanatarajia kuhudumia makasha zaidi ya Milioni Moja na laki mbili. Alisema kwa mwaka wa fedha 2022/23 Bandari ya Dar es Salaam walihudumia shehena Tani milioni 21.46, na malengo kwa mwaka uliopita ilikuwa ni kuhudumia Tani milioni 19.6 ambapo Tani hizo walizozihudumia walifanikuwa kuvuka […]

KITAIFA
November 30, 2023
123 views 30 secs 0

TANZANIA NA UGANDA ZAINGIA MAKUBALIANO YA KUSAFIRISHA SHEHENA KUPITIA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Tanzania na Uganda zimeingia makubaliano ya kuongeza usafarishaji wa Shehena ya Mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda Uganda kupitia ushoroba wa Mwanza. Makubaliano hayo yameshainiwa kati ya Waziri a Uchukuzi wa Tanzania Prof. Makame Mbarawa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Uganza Edward Katumba, makubaliano hayo yamefanyika jijini Dar es Salaama “ […]