MICHEZO
November 27, 2023
165 views 2 mins 0

WACHEZAJI TFRA WAKABIDHI MAKOMBE KWA UONGOZI WA MAMLAKA

Washiriki wa michezo lililoandaliwa na Shirikisho la michezo yaMashirika, Taasisi za Umma na Binafsi (SHIMMUTA) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) wamerejea na kukabidhi makombe mawili ya ushindi wa kwanza waliyoyapata wakati wa ushiriki wao katika michezo hiyo. Akipokea makombe hayo ikiwa ni la ushindi katika mchezo wa pool table na kukimbia ndani […]

KITAIFA
July 12, 2023
209 views 3 mins 0

JERRY SILAA:AWASHANGAA WANASHERIA WANAOPOTOSHA TAFSRI YA VIPENGELE VYA MKATABA

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya uwekezaji wa mitaji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la ukonga Jerry Silaa amesema nchi yetu inakatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inayotoa mamlaka Kwa kila aliepewa mamlaka na katiba,katiba hiyo imeazimishwa na mamlaka lakini vile vile mamlaka hayo wakitumia Demokrasia Kwa […]

KITAIFA
July 08, 2023
117 views 4 mins 0

MAJALIWA:AWATOA HOFU WANAMTWARA UWEKEZAJI UNA FAIDA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema uwekezaji una faida na kwamba suala hilo siyo kitu kipya. Ametoa kauli hiyo jana jioni (ijumaa,julai 07,2023)wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya bandari mjini Mtwara. Amesema mwekezaji WA kwanza kwenye bandari ya Dar es salaam ambako uwekezaji unapigiwa kelele, mkataba wake ulikuwa na […]

KITAIFA
May 29, 2023
247 views 38 secs 0

BANDARI YA DAR ES SALAAM YAWEKA REKODI MPYA KWA KUHUDUMIA SHEHENA

Bandari ya Dar es Salaam imefikia rekodi ya kihistoria kwa kuhudumia zaidi ya tani milioni 18 za shehena hadi kufikia Mei 2023. Muda wa kuhudumia shehena umepungua sana na sasa unachukua chini ya siku nne. Mkakati wa maboresho na ujenzi wa miundombinu katika bandari hiyo umesaidia kuongeza ufanisi na kuboresha huduma za bandari. Kina cha […]