BIASHARA
April 27, 2024
117 views 49 secs 0

WIZARA YA KILIMO YAPONGEZWA KWA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MBEGU BORA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MOROGORO Mkulima mmoja kutoka Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Raha Aloyce ameipongeza na kuishukuru wizara ya Kilimo kwa jitihada endelevu katika kuhamasisha wakulima kutumia Mbegu na miche bora ili kuweza kunufaika zaidi na shughuli za kilimo wanazofanya Katika maelezo yake, Raha ameeleza kuwa matumizi ya mbegu na […]

KITAIFA
April 06, 2024
124 views 3 mins 0

BILIONI 9.88 KUJENGA LAMI BARABARA YA DAREDA MJINI-DAREDA MISSION BABATI

BABATI Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara (TANROADS) kumsimamia Mkandarasi kampuni ya Jiangxi Geo Engineering kukamilisha kwa wakati ujenzi kwa kiwango cha lami wa barabara ya Dareda hadi Dongobesh (km 60) sehemu ya kwanza ya Dareda Mjini hadi Dareda Missioni (km 7) ili kuufungua kiuchumi Mkoa wa Manyara. Bashungwa amezungumza […]