KITAIFA
August 12, 2023
263 views 29 secs 0

KATAMBI AMTAKA MKANDARASI AMALIZE UWANJA WA MPIRA MKWARAA KWA WAKATI

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amemuagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa mpira wa Kwaraa kumaliza kwa wakati ili kutumika katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru. Mhe. Katambi ametoa maelekezo hayo Agosti 11,2023 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya uwanja huo kuelekea […]

KITAIFA
June 30, 2023
122 views 2 mins 0

Wadau wapewa somo Kwa ajili ya kulipa kodi mataasisi yao

Mashirika yasiyo ya kiserikali Kwa kushirikiana na serikali wamefanya mkutano maarumu Kwa ajili ya wadau na kuwapa somo wadau hao Kwa ajili ya kulipa kodi na kutatua changamoto mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari Leo ijumaa ya tarehe 30 mwenyekiti WA bodi ya uratibu WA mashirika yasiyo ya kiserikali Tanzania Mwamtumu Mahiza amesema mashirika yasiyo […]