KITAIFA
October 01, 2024
222 views 2 mins 0

WAZIRI MKUU NA MKURUGENZI WA AMREF WATETA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAREKANI WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa alifanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Amref Health Africa Dkt. Githinji Gitahi, kando ya Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA 79) ambao alishiriki kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassanย  Jijini New York, Katika mazungumzo hayo yalifanyika juzi, Majaliwa alilipongeza shirika […]

KITAIFA
May 24, 2024
183 views 34 secs 0

AMREF KUREKEBISHA KANUNI ZA AFYA ZA KIMATAIFA

Na Madina Mohammed WAMACHINGA DAR ES SALAAM Mkutano wa Afya Duniani (WHA77),ulioandaliwa na Amref Health Africa kwa ushirikiano na Afrika CDC, Ofisi ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya Duniani na Bill na Melinda Gates Foundation. Katika mkutano huo,ulijadiliwa maswala muhimu ya afya ya umma ikiwa ni pamoja na kujiandaa na kukabiliana na janga […]