MHANDISI HERSI ASEMA KAMWE YUPO SANA DAR YOUNG AFRICAN
Na Anton Kiteteri WAMACHINGA DAR ES SALAAM Wakati aliyekuwa msemaji wa mabingwa wa soka nchini na mabingwa wapya wa kombe la Toyota Yanga ,ndugu Ally Kamwe kutangaza kujiuzuru nafasi hiyo hapo jana ,rais wa timu hiyo Mhandisi Said Hersi amesema taarifa hizo hazitambui. “Sina taarifa za Alli Kamwe kuachia ngazi,nilichoelewa ni kwamba inaonekana alikuwa anacheza […]