KITAIFA
September 11, 2023
227 views 58 secs 0

OSHA YATOA MAFUNZO KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI

Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) imefanya semina elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 10 Septemba, 2023, mkoani Arusha. Aidha, semina hiyo ililenga kutoa uelewa kwa Kamati hiyo kuhusu majukumu yanayotekelezwa na OSHA na namna taasisi hiyo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu […]

KITAIFA
September 05, 2023
216 views 6 secs 0

KATIBU MKUU MHANDISI LUHEMEJA ASISITIZA UBUNIFU KWA WATENDAJI WAKE

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa malengo yanayopimika ili kuiwezesha serikali kufikia malengo na kuwahudumia wananchi. Mhandisi Luhemeja ameyasema hayo Septemba 5, 2023 mara baada ya kukabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa ofisi […]

KITAIFA
September 04, 2023
156 views 11 secs 0

MHE. KATAMBI: SERIKALI IMEWEKA MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA PROGRAMU ZA VIJANA

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema serikali imeweka mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za vijana ili kupima matokeo ya utekelezaji sambamba na kuleta tija kwa Taifa. Mhe. Patrobas Katambi ameyasema hayo bungeni 4 Septemba, 2023 alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa […]

BIASHARA, KITAIFA
August 15, 2023
297 views 2 mins 0

CHALAMILA ASISITIZA KUTUMIA BIDHAA ZENYE KIWANGO NA SI BIDHAA FEKI

ALAF Tanzania, ambayo ni moja ya makampuni chini ya Safal Group, leo imezindua rasmi dhamana ya bidhaa lengo likiwa ni kulinda ubora wa bidhaa zake kwa wateja. Uzinduzi huu unatokana na kutapakaa kwa bidhaa zilizozalishwa chini ya kiwango na pia bidhaa bandia katika soko la Tanzania na masoko ya nje. Meneja Masoko wa ALAF, Isamba […]