TASAF KUONGEZA IDADI YA MIZIGO BANDARINI
Idadi ya mizigo iliyotangazwa bandarini Tanzania iliongezeka kutoka 6000 mwaka 2019/20 hadi 70000 mwaka 2021/22 kwa mujibu wa Wakala wa Meli Tanzania (Tasac) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TASAC, Nelson Mlali, alisema ongezeko hilo limetokana na jitihada mbalimbali zinazofanywa na wakala huo ikiwa ni pamoja na uanzishaji wa masijala ya wazi ya meli na ukarabati wa […]