KITAIFA
December 05, 2023
103 views 4 mins 0

DKT BITEKO:VIONGOZI TUACHE ALAMA NZURI KATIKA UTENDAJI WETU WA KAZI

Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa viongozi mbalimbali Serikalini kuhakikisha kuwa, kazi walizonazo wanazifanya kwa bidii kubwa na kuacha alama nzuri kwa wananchi, hivyo ni muhimu kazi hizo zikaonekana na kufaidisha wananchi. Amesema hayo tarehe 5 Desemba 2023 wakati alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa […]

KITAIFA
November 09, 2023
160 views 57 secs 0

SERIKAL YATIA UFAFANUZI WA MIFUGO ILIYOKAMATWA SERENGETI

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa suala linalohusisha ng’ombe 806, kondoo 420 na mbuzi 100 waliokamatwa Serengeti na kupigwa mnada baada ya Mahakama ya Musoma kutoa hukumu, limeshahitimishwa kimahakama baada ya taratibu zote kukamilika. Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Novemba 9,2023 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu hoja ya Mbunge wa […]

KITAIFA
November 09, 2023
174 views 2 mins 0

RC CHALAMILA BEHEWA KWA BEHEWA KUSIKILIZA KERO USAFIRI WA TRENI KAMATA -PUGU

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo leo Novemba 8,2023 amefanya ziara kwa treni za mjini kutoka stesheni ya Kamata kwenda Pugu kuona adha wanazokumbana nazo abiria.  Mhe Albert Chalamila alitumia usafiri huo ili kuweza kuwasikiliza abiria na kuona kero na […]

KITAIFA
November 06, 2023
106 views 2 mins 0

MBUNGE KOKA,DC KIBAHA WATIMBA DARAJA LA MTO MPIJI WAMPONGEZA RAIS SAMIA

Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka amempongeza kwa dhati Rais wa awamu ya sita Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kutoa kiasi shilingi milioni 252 kwa ajili ya ukarabati wa daraja la mto Mpiji ili liweze kuwasaidia wananchi wa kata ya pangani kuvuka kwa urahisi hasa katika kipindi hiki cha mvua. Koka ametoa pongezi […]

KITAIFA
November 05, 2023
286 views 2 mins 0

WAPENI USHIRIKIANO VGS”CP WAKULYAMBA

Wananchi wametakiwa kuwapa ushirikiano Askari wa Wanyamapori Vijijini (VGS) ili waweze kutekeleza Majukumu yao vizuri ya ulinzi wa Maliasili pamoja na kuwalinda wanavijiji dhidi ya Wanyamapori wakali na waharibifu. Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamishna Benedict Wakulyamba kwenye ziara yake ya kukagua utekelezaji wa mradi wa Kuboresha Usimamizi […]

KITAIFA
October 17, 2023
208 views 2 mins 0

KAMATI YA BUNGE YASHAURI WIGO ZAIDI FURSA ZA AJIRA ZA WATANZANIA NJE YA NCHI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kupitia Kitengo cha Huduma za Ajira kupanua wigo wa fursa za ajira kwa watanzania nje ya nchi. Akizungumza leo Oktoba 17, 2023 katika kikao cha kamati hiyo cha kupokea na kujadili utendaji kazi […]

KITAIFA
October 16, 2023
248 views 3 mins 0

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2023 AMPONGEZA MBUNGE KITETO

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Kitaifa mwaka 2023, Abdalla Shaib Kaim, amempongeza Mbunge wa jimbo Kiteto Mkoani Manyara Edward Ole Lekaita kwa kushiriki Kikamilifu kwenye shughuli ya Kitaifa za kuupokea na kukimbiza mwenge wa uhuru ulipokua Wilayani Kiteto hadi kukabidhiwa kwake katika Wilaya ya Simanjiro. Kaimu ameyasema hayo Jana wakati alipokua akiagana na […]

KITAIFA
October 08, 2023
136 views 3 mins 0

SH,BILIONI 163 KUTUMIKA KUIUNGANISHA KATAVI KATIKA GRIDI YA TAIFA

Kapinga aonya watakaokwamisha mradi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Judith Kapinga amesema kuwa, shilingi Bilioni 163 zitatumika kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo kuwezesha mkoa huo kupata umeme wa uhakika na unaotabirika. Mhe. Kapinga amesema hayo wakati akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wakati wa ziara Katibu Mkuu wa […]

BURUDANI
October 06, 2023
109 views 2 mins 0

TAWA YASHIRIKINMAONESHO YA KIMATAIFA YA ‘SITE’ JIJINI DAR ES SALAAM MAENEO MAPYA YA KIMKAKATI YANADIWA

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki maonesho ya Saba ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yaliyozinduliwa Leo Oktoba 6, 2023 na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam Wanunuzi wa bidhaa za utalii kutoka masoko ya kiutalii […]