BIASHARA
September 08, 2023
208 views 28 secs 0

WAZIRI BASHE UKITAKA TREKTA VIJANA MUSHINDANE

Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na taasisi ya mifumo ya chakula (AGRA) na kampuni ya John Deer inatarajia kuanza mchakato wa kuwashindanisha vijana kwenye vikundi na kuwapatia zawadi ya trekta lengo likiwa kuendelea kuhamasisha vijana kuingia kwenye sekta ya kilimo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema […]

KITAIFA
September 08, 2023
349 views 3 mins 0

KATIBU MKUU LUHEMEJA ATAKA FURSA ZINAZONUFAISHA WANANCHI KUTANGAZWA

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kutangaza mafanikio ya wizara na taasisi zake ili wananchi waweze kutambua fursa zinazo wezeshwa na serikali. Mhandisi Luhemeja amesema hayo Septemba 7, 2023 wakati wa kikao kazi cha kujadili shughuli na kazi za Wizara na […]

KITAIFA
September 07, 2023
214 views 2 mins 0

TANZANIA NA UGANDA WAZIDI KUIMALISHA MAHUSIANO SEKTA YA MIFUGO

Tanzania na Uganda inaendelea kuimarisha ushirikiano na mahusiano katika sekta ya mifugo kwa kusaini makubaliano ya udhibiti wa magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka na yanayo ambukiza binadam katika maeneo ya mipaka. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Alhamis 07 September 2023 Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Hamis Ulega Amesema Licha […]

KITAIFA
September 07, 2023
148 views 2 mins 0

RAIS SAMIA MPANGO WA BBT NI KUSHUSHA MFUMUKO WA BEI YA CHAKULA

Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Kupitia serikali yake wataambatanisha viashiria na vitaashiria kufanikiwa Kwa mpango wa kilimo wa BBT Ili kuwapatia fursa Vijana kujihusisha na Kilimo. Amesema kuwa na kutaja baadhi ya viashiria hivyo ni idadi ya Vijana walio Katika mpango huo ambao wapo Zaidi 1200 Na Bado wapo […]

KITAIFA
September 07, 2023
130 views 2 mins 0

TANZANIA IMEUNGANA TENA KWA KISHINDO TUZO YA CHAKULA CHA AFRIKA

Tanzania Imeungana tena mwaka huu ili kuashiria kwa hatua nyingine kwa ajili ya tuzo ya chakula cha Afrika. Kwa miaka mingi,wametambua na kuadhimisha watu bora na taasisi zinazozingatia mifumo ya chakula endelevu Afrika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Alhamis 07 September 2023 Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete Amesema Sisi ni […]

KITAIFA
September 06, 2023
131 views 20 secs 0

PROF. NDALICHAKO AHIMIZA USHIRIKIANO KUWAHUDUMIA WANANCHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amewataka watendaji wake kushirikiana kwa pamoja ili wananchi wapate huduma kwa wakati Waziri Ndalichako ameyasema hayo wakati wa kikao kazi cha kujadili kazi za Ofisi hiyo pamoja na Taasisi zilizopo chini yake kilichofanyika Septemba 6, 2023 katika jengo […]

KITAIFA
September 06, 2023
235 views 3 mins 0

MAVUNDE KUIPONGEZA STAMICO KWA JITIHADA ZA KUJITEGEMEA

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa hatua kubwa iliyopigwa katika kipindi kifupi kutoka kuwa Shirika tegemezi na kuwa Shirika linalojitegemea huku akilitaka kuendelea kufanya kazi kwa bidii zaidi ili kufikia azma ya kuwepo kwa Shirika hilo. Aliyasema hayo Septemba 05, 2023 jijini Dodoma katika kikao kifupi na […]

KITAIFA
September 06, 2023
181 views 49 secs 0

SERIKALI KUONGEZA BAJETI YA KILIMO HADI BILIONI 970

Mpango wa Serikali wa kuwatoa Watanzania kutoka kwenye umaskini kupitia kilimo unaonekana dhahiri kutokana na hatua mbali mbali inazochukuliwa kuboresha sekta hiyo. Aidha miongoni mwa hatua madhubuti za kuimarisha sekta hiyo ni pamoja ni kuongezeka kwa bajeti ya kilimo hadi bilioni 970 kwa mwaka huu, fedha hizo zimelenga kufanya mageuzi kutoka kwenye kilimo cha kutegemea […]