EWURA YAPAMBA MOTO YAVIFUNGIA TENA VITUO VYA MAFUTA VIWILI
Kutokana na hali iliyokuwa na matukio Kwa baadhi ya maeneo hasa pembezoni mwa nchi kukosa mafuta hasa kipindi Cha kubadilishwa kwa Bei ya mafuta kunasababisha kuwa na usumbufu mkubwa Kwa wananchi na madhara ya kiuchumi EWURA imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria ikiwemo kuvifungia baadhi ya vituo vilivyothibitika kuficha mafuta kinyume na kanuni na Miongozo […]