MUFTI WATANZANIA DKT.ABUBAKARI ZUBERI ALLY AMFANYIA DUA MAALUM MAKONDA
Na Madina Mohammed Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizozi pitia makonda kuendelea kupata Baraka zaidi. Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo […]