KITAIFA
October 26, 2023
116 views 3 mins 0

DKT BITEKO ATAKA SWKTA YA UVUVI IWE NYENZO YA KUONDOA UMASIKINI NCHINI

TAFIRI watakiwa kuwa kimbilio la wavuvi Asisitiza utunzaji wa mazingira kupewa kipaumbele Ahimiza kuongeza kasi kuuza bidhaa nje ya nchi Dkt. Biteko Azindua ‘App’ kusaidia Sekta ya Uvuvi Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Sekta ya Uvuvi nchini kuifanya Sekta hiyo kuwa nyenzo muhimu […]

MICHEZO
October 24, 2023
330 views 58 secs 0

SIMBA WATOLEWA KATIKA MICHUANO YA AFL2023

AFL2023: Licha ya safari ya Klabu ya Simba kukatishwa na Goli la Ugenini lililoibeba Klabu ya Al Ahly, Wekundu hao wa Msimbazi wamejihakikishia malipo ya Dola za Marekani 1,000,000 zilizotangazwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) linalosimamia Ligi ya African Football(AFL) Michuano hiyo iliyoanzia hatu ya Robo Fainali, ilianza kwa kuvijumuisha Vilabu vya Enyimba FC […]